Ukarabati wa uwanja wa Nyamagana Waanza

Zoezi la ukarabati katika uwanja mkongwe  wa Nyamagana ulioko jijini Mwanza, umeanza leo jii chini ya kampuni ya JASCO; ambapo Zoezi linalofanyika kwa sasa ni la kuchimba udongo na kuchukua vipimo mbalimbali.


uwanja wa Nyamagana
Uwanja wa Nyamagana - Mwanza (kabla ya ukarabati kuanza)

Kuanza kwa zoezi hilo sasa ni ishara nzuri kuelekea uwekaji wa nyasi bandia kwenye uwanja huo, zoezi ambalo limesubiriwa kwa muda mrefu kiasi cha kuzua maswari mengi miongoni mwa wadau wa soka Jijini Mwanza.

Uwekaji wa nyasi bandia kwenye uwanja wa Nyamagana unaratibiwa na shirikisho la soka duniani FIFA chini ya mpango wa FIFA GOAL PROJECT.

Kwa taarifa zaidi kuhusiana na ukarabati wa uwanja wa Nyamagana na uwekaji wa nyasi Bandia ikiwemo picha kuhusiana na tukio hilo,


Share on Google Plus

About Unknown

"Is the CEO and Co-Founder of wakuganda in sports blog, dedicated to give you Sport roundups, updates, live scores and all sporting events,"
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment