MKURUGENZI WA WAKUGANDA IN SPORTS AWAASA VIJANA WAKE



Mkurugenzi wa Wakuganda in sports  - Isaack Wakuganda mbali ya kuwa na taaluma ya uandishi wa habari, pia ni Mwalimu katika shule ya Sekondari ya Mkolani iliyoko wilayani Nyamagana mkoani Mwanza.

 

Hapa anatoa maelekezo ya jinsi ya kujibu mtihani wa Historia kwa wanafunzi wake wa kidato cha nne ambao wanatarajiwa kuanza kufanya mitihani yao ya Taifa hapo jumatatu ya Novemba 3, 2014 hadi Novemba 14, 2014

Wakuganda akiwa pamoja na mwalimu wa Taaluma Haji Suleman, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Mkolani nje ya jingo la utawala wa shule

Wakuganda anawatakia wanafunzi wake wa Mkolani mafanikio kwenye mitihani hiyo huku akiwaambia kuwa A, B+ , B na C katika Historia inawezekana . Cha muhimu ni kuzingatia maelekezo aliyowapa wakati wote alipokuwa anafundisha.
Share on Google Plus

About Unknown

"Is the CEO and Co-Founder of wakuganda in sports blog, dedicated to give you Sport roundups, updates, live scores and all sporting events,"
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment