LIGI kuu soka Tanzania bara imeendelea leo kwa mechi tano kupigwa viwanja mbalimbali nchini. Wekundu wa Msimbazi, Simba walikuwa wenye...
Read More
Home / Archive for September 2014
SIMBA YAZIDI KUCHECHEMEA
SIMBA SC imelazimishwa sare ya pili mfululizo katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya jioni hii kufungana bao 1-1 na Polisi Moro...
Read More
QUATAR WAAGA MASHINDANO BAADA YA KUAGIZWA KUVUA HIJAB
Timu ya wanawake ya Qatar ya mchezo wa mpira wa vikapu imejiondoa kutoka mashindo ya bara Asia yanayofanyika huko Korea Kusini baada ya kua...
Read More
SIMBA,YANGA KUKIPIGA OCTOBA 18
MECHI ya Simba na Yanga iliyopangwa kuchezwa Oktoba 12 kwenye Uwanja wa Taifa sasa imesogezwa mbele mpaka Oktoba 18 kupisha mechi ya kirafi...
Read More
MCHEZO WA SIMBA NA YANGA KUSOGEZWA MBELE;WAMBURA ATAJA SABABU
Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Boniface Wambura amewataka wapenda soka kuvuta subira hadi kesho ili kujua mechi ya watani iliyoondolewa O...
Read More
RAIS MALINZI KUFUNGA KOZI YA WANAWAKE
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi anatarajia kufunga mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa vyama vya mpira wa...
Read More
EXCLUSIVE;TAIFA STARS, BENIN KUCHEZA DAR OKTOBA 12
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inashuka uwanjani Oktoba 12 mwaka huu kuikabili Benin katika mechi ya kirafiki ya kalenda ya Shirik...
Read More
MOMBEKI,CHUJI WAVURUNDA OMANI;FUATILIA KILICHOJIRI
Kiungo wa zamani wa Yanga, Athumani Iddi Chuji na mshambuliaji wa zamani wa Simba, Betram Mwombeki wamefeli majaribio ya kucheza soka la ku...
Read More
GHANA KUCHEZA BILA KOCHA DHIDI YA GUINEA
Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea katika mechi ya kuwania kufuzu kwa kombe la mabingwa ba...
Read More
CRISTIANO RONALDO AAPA KUFIA MADRID
Cristiano Ronaldo aliwaambia waandishi wa habari kuwa maisha yake ya baadaye yako Real Madrid baada ya kufunga magoli manne Cristiano ...
Read More
CAF YAIFUNGIA JS KABYLIE YA ALGERIA MIAKA 2
Klabu ya Algeria JS Kabylie imepigwa marufuku kushiriki mashindano yeyote kwa miaka miwili . Js Kabylie ya Algeria Shirikisho la soka...
Read More
Wenger;Diaby ataanza dhidi ya Southampton
Arsene Wenger amethibisha kuwa kiungo Abou Diaby ataanza leo katika mchezo wa capital one dhidi ya Southampton baada ya kuwa nje kwa takrib...
Read More
Nyamagana kumekucha,uwekaji nyasi bandia waanza rasmi
Hatua za awali za ukarabati kuelekea uwekaji wa nyasi bandia kwenye uwanja mkongwe wa Nyamagana Jijini Mwanza unaendelea vizuri ambapo le...
Read More
Video: angalia magoli 3 yaliyofungwa na Arsenal ndani ya dakika 4 dhidi ya Aston Villa
Arsenala ilishinda katika mchezo wake dhidi ya Aston Villa Siku ya Jumamosi kwa mabao 3 - 0. Kitu kilichoibua mshangao kwa mashabiki, ni ...
Read More
Mashabiki wamrushia matusi Baloteli
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kutokan...
Read More
Sare dhidi ya Coastal yaipeleka Simba Zanzibar
Uongozi wa klabu ya Simba umesema sare ya mabao 2-2 dhidi ya Coastal Union, jana, haukuwa mzuri kwao lakini wameupokea kama changamoto. ...
Read More
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)