LIGI SOKA DARAJA LA KWANZA TANZANIA BARA MICHEZO MITANO YA KUNDI B KUPIGWA KESHO




Polisi dodoma vs jkt kanembwa – jamhuri dodoma
Polisi mara vs JKT Oljoro   –   Karume
Rhino rangers vs Mwadui  –  All hassan mwinyi
Geita gold vs Polisi tabora  –  Nyankumbu sec
Bukina faso – vs Green warriors  -  Jamhuri dodoma


Ligi hiyo itaendelea tena jumapili hii kwa mchezo mmoja ambao utawakutanisha vinara wa kundi hilo toto africans dhidi ya panone. mchezo huo utapigwa kwenye dimba la ccm kirumba jijini mwanza
Share on Google Plus

About Unknown

"Is the CEO and Co-Founder of wakuganda in sports blog, dedicated to give you Sport roundups, updates, live scores and all sporting events,"
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment